Juliani Saba
Mandhari
Juliani Saba (yaani Mzee; 300 hivi - 377) alikuwa mkaapweke wa Osroene (leo kati ya Siria na Uturuki), ambaye tunamfahamu kupitia maisha yake yaliyoandikwa na Theodoreto wa Kuro.
Alihamia mlima Sinai alipojenga basilika ila aliacha upweke kwa muda kwenda Antiokia kupinga Uario[1][2].
Wafuasi wake maarufu zaidi ni Akasi, Yakobo na Asteri[3].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Januari [4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://vidas-santas.blogspot.com.co/2013/01/san-julian-sabas-asceta.html
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/38170
- ↑ Fotios Ioannidis, Il monachesimo primitivo in Siria e in Palestina.
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |