Jeradi wa Potenza

Jeradi wa Potenza (Piacenza, Italia Kaskazini, karne ya 11 - Potenza, Italia Kusini, 1119) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 1111 akawa maarufu kwa miujiza yake[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu, ingawa alitangazwa na Papa Kalisti II mwaka uliofuata kifo chake bila maandishi[2].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Oktoba[3].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |