Potenza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muonekano wa Potenza


Potenza (maana yake Uwezo) ni makao makuu ya mkoa wa Basilicata, Italia Kusini.

Mji huo una wakazi 66,679 (2018).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Potenza kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.