Kupe (arakinida)
(Elekezwa kutoka Ixodidae)
Jump to navigation
Jump to search
Kupe | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Kupe wa ng'ombe (Amblyomma variegatum) aliyejaa na damu
| ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Jenasi 12:
|
Kupe ni arithropodi wa familia Ixodidae katika ngeli Arachnida (arakinida). Hujiama kwenye mwili wa mnyama na kufyonza damu kama chakula. Spishi nyingi ni wasumbufu juu ya wanyama wafugwao na wanaweza kusambaza magonjwa. Kwa kawaida kupe hujificha kwa nyasi au kwa udongo na hungojea wanyama kama ngombe au muzi ili amng'ate na kumnyonya damu. Kupe ni hatari sana maana huenda akawa ameyabeba magonjwa kama ule wa Lyme.
![]() |
Makala hii kuhusu mdudu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kupe (arakinida) kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |