Iveta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Iveta akihudumia wakoma.

Iveta (pia: Juta, Jufta; 1158 - 13 Januari 1228) alikuwa mwanamke ambaye, kisha kubaki mjane, alijitosa kwa miaka 11 kuhudumia wakoma na hatimaye alitengwa na jamii pamoja nao huko Huy karibu na Liege, Ubelgiji. Miaka 36 ya mwisho ya maisha yake aliishi upwekeni kabisa na kujaliwa karama za pekee[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Januari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.