Nenda kwa yaliyomo

Ismidoni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ismidoni (Sassenage, Grenoble, leo nchini Ufaransa - 28 Septemba, 1115) alikuwa askofu wa Die, karibu na Lyon, tangu mwaka 1097 hadi kifo chake.

Akisukumwa na pendo kwa Nchi takatifu, alihiji Yerusalemu mara mbili [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Papa Pius X alithibitisha heshima hiyo tarehe 9 Desemba 1903.

Sikukuu yake ni tarehe 30 Septemba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • Ulysse Chevalier, Regeste dauphinois, ou Répertoire chronologique et analytique des documents imprimés et manuscrits relatifs à l'histoire du Dauphiné, des origines chrétiennes à l'année 1349 (Tome 1, Fascicule 2), ed. Impr. valentinoise, 1912 Regeste dauphinois
  • Nicolas Chorier, Histoire généalogique de la maison de Sassenage, Branche des anciens comtes de Lyon et de Forez, Grenoble, ed. J. Nicolas, 1669 [1]
  • Congregatio de Causis Sanctorum, Index ac status causarum, Città del Vaticano 1999.
  • Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.