Isdory Tarimo
Isdory Tarimo | |
---|---|
Utaifa | Mtanzania |
Majina mengine | Isdory Lucas Tarimo |
Kazi yake | Mwanasiasa na Mwanamazingira |
Cheo | Mwanzilishi-mwenza wa Tecoso Tanzania |
Chama cha siasa | Chama Cha Mapinduzi |
Mwenza | Irene Tarimo (m. 1992–present) |
Watoto | 7 |
Tovuti | |
Tecoso wavuti |
Isdory Lucas Tarimo (amezaliwa 15 Novemba 1954) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Mapinduzi CCM. Alichaguliwa kuwa Diwani wa Kata ya Nanjara-Reha, Wilaya ya Rombo kwa mwaka 2000 hadi 2010.[1] [2] [3] [4] [5] Pia ni mwanaharakati wa mazingira akisimamia Taasisi isiyo ya kiserikali inayoshughulika na mazingira, Jumuiya ya Uhifadhi wa Mazingira Tanzania (Tecoso Tanzania).[6] [7]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi azindua kampeni za udiwani wilayani Rombo
- ↑ Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi awanadi Madiwani wa CCM Kata ya Nanjara Reha
- ↑ Madiwani takribani 21 kuikomboa Kata ya Nanjara Reha kwenye Uchaguzi mdogo
- ↑ Kampeni za Udiwani Kata ya Nanjara Reha Wilaya ya Rombo Kilimanjaro
- ↑ Uchaguzi wa Diwani Kata ya Nanjara Reha
- ↑ Isdory Lucas Tarimo LinkedIn.
- ↑ Wasifu wa Isdory Tarimo chini ya TECOSO
![]() |
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Isdory Tarimo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
![]() |
Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |