Isdory Tarimo
Isdory Tarimo | |
---|---|
Amezaliwa | 15 Novemba 1954 |
Utaifa | Mtanzania |
Majina mengine | Isdory Lucas Tarimo |
Kazi yake | Mkulima Mwanasiasa Mwanamazingira |
Cheo | Mkurugenzi wa Tecoso Tanzania |
Mwenza | Irene Tarimo (m. 1992–present) |
Watoto | 7 |
Isdory Tarimo | |
Mwenyekiti TASO (Kanda ya Kaskazini)
| |
Aliingia ofisini 21 Desemba 2022 | |
mtangulizi | Arthur Kitonga Shayo |
---|---|
Muda wa Utawala 2000 – 2010 | |
mtangulizi | Sabini Mangalili |
aliyemfuata | Herman Shayo |
chama | Chama Cha Mapinduzi |
Isdory Lucas Tarimo (amezaliwa 15 Novemba 1954) ni Mtanzania mwanamazingira, mwanasiasa na mkulima kutoka Mkoa wa Kilimanjaro.
Maisha ya awali na kazi[hariri | hariri chanzo]
Tarimo ni mwanasiasa mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Mapinduzi CCM. Kabla ya Serikali kugawanya kata ya Nanjara-Reha iliyokuwa na wakazi takribani 26,000, alichaguliwa kuwa Diwani wa Kata ya Nanjara-Reha, Wilaya ya Rombo kwa mwaka 2000 hadi 2010.[1] [2] [3] [4] [5] Pia ni mwanaharakati wa mazingira akisimamia Taasisi isiyo ya kiserikali inayoshughulika na mazingira, Jumuiya ya Uhifadhi wa Mazingira Tanzania (Tecoso Tanzania).[6] [7] [8]
Shughuli za Kilimo na Utumishi wa Umma[hariri | hariri chanzo]
Tarimo ni Katibu Mkuu wa Shirika la Taifa la Wakulima Tanzania, Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA) akiwakilisha tawi la Mkoa wa Kilimanjaro (MVIWAKI).[9] Mwaka 2022, alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Kilimo Tanzania (Tanzania Agricultural Society - TASO) akiwakilisha mikoa ya Kanda ya Kaskazini, Mkoa wa Manyara, Mkoa wa Arusha na Mkoa wa Kilimanjaro.[10]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Party, Chama Cha Mapinduzi (October 21, 2012). "Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi azindua kampeni za Udiwani Wilaya ya Rombo" [The Secretary of NEC Ideology and Propaganda launches councilor campaigns in Rombo district] (kwa Kiswahili). Iliwekwa mnamo 23 June 2023. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) - ↑ Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi awanadi Madiwani wa CCM Kata ya Nanjara Reha
- ↑ Madiwani takribani 21 kuikomboa Kata ya Nanjara Reha kwenye Uchaguzi mdogo
- ↑ FM, Radio Peak. "Council campaigns, Nanjara Reha Ward, Rombo Kilimanjaro District", November 10, 2012.
- ↑ Uchaguzi wa Diwani Kata ya Nanjara Reha
- ↑ "Isdory Lucas Tarimo LinkedIn". LinkedIn. Iliwekwa mnamo April 10, 2022. Unknown parameter
|url-status=
ignored (help); Check date values in:|accessdate=
(help) - ↑ "Tanzania Environmental Conservation Society bio". Tecoso Tanzania.
- ↑ "ScholarWorks at University of Montana at Nanjara Village in Tanzania.". Scholar Works. May 10, 2015. Iliwekwa mnamo Juni 23, 2023. Check date values in:
|date=
(help) - ↑ "Employees from MVIWATA.". Signal Hire.
- ↑ Club, Arusha Press (December 21, 2022). "Hatimaye TASO Kanda ya Kaskazini yapata Uongozi." [Finally TASO North Region's gets new leadership.] (kwa Kiswahili). Iliwekwa mnamo 17 May 2023. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help)
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Isdory Tarimo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |