Innocent Lugha Bashungwa
Mandhari
| Mhe. Innocent Bashungwa (Waziri) | |
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. | |
| Aliingia ofisini 2022 | |
| Rais | Samia Suluhu Hassan |
|---|---|
Mbunge wa Karagwe | |
| Aliingia ofisini 2015 | |
| tarehe ya kuzaliwa | 5 Mei 1979 Karagwe |
| utaifa | Mtanzania |
| chama | CCM |
| tovuti | https://www.tamisemi.go.tz/ |
Innocent Lugha Bashungwa (alizaliwa 5 Mei 1979) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Karagwe kwa mwaka 2015 – 2020. [1] Kwa sasa ni waziri wa Nchi Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI). [2] Oktoba 3, 2022, alichukua nafasi ya Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Tanzania. [3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Innocent Lugha Bashungwa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |