Injenwino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu za Wat. Injenwino na Albuino katika kanisa kuu la Brixen/Bressanone.

Injenwino (alifariki Saeben/Sabiona, Bozen/Bolzano, leo nchini Italia, 605 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo wa Italia Kaskazini[1].

Wakati wa uvamizi wa Walombardi Waario ilimbidi akimbie, lakini baadaye akarudi.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Februari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Josef Gelmi: Bischof Ingenuin von Säben, Brixen (Weger) 2005; ISBN 8888910239
  • Josef Riedmann: Ingenuin von Säben. In: Lexikon der Heiligen und der Heiligenverehrung. 2. Band. Herder, Freiburg i. B. 2003, ISBN 3-451-28192-9
  • Anselm Sparber: Ingenuin. In: Lexikon für Theologie und Kirche. 1. Auflage, 5. Band. Herder, Freiburg i. B. 1933
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.