Herman wa Alaska

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Herman.

Herman wa Alaska (kwa Kirusi Преподобный Герман Аляскинский, Prepodobnyy German Alyaskinskiy; Serpukhov au Voronezh Governorate, Russia, 1750 hivi – Spruce Island, 15 Novemba 1836) alikuwa mmonaki wa Kanisa la Kiorthodoksi la Urusi aliyefanya umisionari huko Alaska, leo jimbo la Marekani.

Tarehe 9 Agosti 1970 alitangazwa na Waorthodoksi kuwa mtakatifu na inatumika kwa sikukuu yake ya kila mwaka.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.