Gwibati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Gwibati.

Gwibati (kwa Kilatini: Guibertus; 892 - 23 Mei 962), mzao wa ukoo bora kutoka Ubelgiji wa leo, kwanza alifanya kazi jeshini, halafu akawa mkaapweke, mwanzilishi wa monasteri[1][2] ambayo baadaye aliiweka chini ya kanuni ya Mt. Benedikto, ila mwenyewe alirudia maisha ya upwekeni hadi kifo chake. [3][4][5].

Tangu kale ameheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Alitangazwa rasmi mwaka 1211[6] .

Sikukuu yake ni tarehe 23 Mei[7].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.