Kanuni ya Mt. Benedikto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Regula, 1495
Nakala ya karne ya 8.

Kanuni ya Mtakatifu Benedikto ni kati ya maandishi kwa ajili ya utawa yaliyoathiri zaidi historia ya Kanisa na ya ulimwengu kwa jumla, hasa Ulaya, kwa kuwa baada ya muda mfupi ilikuja kuongoza maisha ya wamonaki karibu wote wa Kanisa la magharibi.

Iliandikwa na Benedikto wa Nursia kwa kutumia kanuni za kitawa zilizotangulia, hasa Kanuni ya mwalimu, pamoja na mang'amuzi yake yaliyojaa busara.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

 This article incorporates text from a publication now in the public domainHerbermann, Charles, ed. (1913). "Rule of St. Benedict". Catholic Encyclopedia. Robert Appleton Company.


Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.