Guria na Samona

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Watakatifu Guria, Samona na Habibu.

Guria na Samona (walifariki Edesa, leo Şanlıurfa nchini Uturuki, 322) walikuwa Wakristo waliofia imani yao[1] kwa kukatwa kichwa katika dhuluma ya kaisari wa Dola la Roma Licinius[2].

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 15 Novemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Holy Martyrs and Confessors Gurias, Samonas and Abibus, of Edessa Retrieved on 20 Feb 2018
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92515
  3. Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 2001, ISBN|88-209-7210-7)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.