Gregori wa Agrigento

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Gregori II.

Gregori wa Agrigento (Agrigento, 559 - Agrigento, 630) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki huko Agrigento, Sicilia, leo nchini Italia kuanzia mwaka 590 hadi kifo chake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Novemba[1].

Anatajwa kama mwandishi wa vitabu vya Kigiriki juu ya Biblia.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Berger, Albrecht, mhariri (1995). Das Leben des heiligen Gregorios von Agrigent: Kritische Ausgabe, Übersetzung und Kommentar. Akademie Verlag. 
  • Ettlinger, G. H. (1986). "The Form and Method of the Commentary on Ecclesiastes by Gregory of Agrigentum". Studia Patristica 18 (1): 317–320. 
  • Martyn, John R. C., mhariri (2004). A Translation of Abbot Leontios' Life of Saint Gregory, Bishop of Agrigento. Edwin Mellen Press. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.