Fortunati wa Napoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Fortunati na maaskofu wengineo.

Fortunati wa Napoli (alifariki karne ya 4) alikuwa askofu wa Napoli, Italia, labda katika miaka 347-359.

Anasifiwa kwa uaminifu wake kwa imani sahihi dhidi ya Uario [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.