Fortunati na Ermagora
Mandhari

Fortunati na Ermagora (walifariki Aquileia, leo nchini Italia, karne ya 3) walikuwa Wakristo ambao waliuawa kutokana na imani yao wakati wa dhuluma ya Dola la Roma.
Inasadikika Ermagora alikuwa askofu wa kwanza wa Aquileia na Fortunati shemasi wake [1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |