Fokas wa Sinope

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro mdogo wa kifodini chake.

Fokas wa Sinope (alifariki Sinope, leo nchini Uturuki, 300 hivi) alikuwa mtunzabustani ambaye alitumia mazao yake kulisha fukara na Wakristo walioteswa wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1]. Mwishoni hata yeye aliuawa kikatili kwa imani ya Kikristo [2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[4].

Sikukuu yake ni tarehe 5 Machi[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.