Floro wa Lodeve

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Floro katika dirisha la vioo vya rangi.

Floro wa Lodeve (pia: Flour, Florus, Fleuret, Floret au Flouret; alifariki Lodeve, Ufaransa, karne ya 4 hivi) alikuwa Mkristo anayeheshimiwa hadi leo kama mtakatifu ingawa habari zake hazijulikani kwa hakika [1][2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Juni[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Marcellin Boudet, 1895: La légende de saint Florus d'après les textes les plus anciens, p. 7
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/55535
  3. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Book of Saints, 2015: St Augustine's Abbey. Aeterna Press (online version)
  • Alban Butler: Leben der Väter und Märtyrer nebst anderen vorzüglichen Heiligen, Volume 16. Müller 1825 (online version)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.