Felisi na Adauti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Walivyochorwa kandokando ya Bikira Maria katika handaki walimouawa.

Felisi na Adauti (walifariki Roma, Italia, 304) ni kati ya mashahidi wa imani ya Kikristo waliouawa wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano.

Kadiri ya shairi lililotungwa na Papa Damas I juu yao walikuwa ndugu[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kati ya watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 30 Agosti[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.