Euprepi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Euprepi (pia: Euprepius, Euprepus, Puprepis) alikuwa askofu wa kwanza wa Verona (Italia) kuanzia mwaka 236 hadi 250[1].

Hakuna habari nyingi za hakika kuhusu maisha yake, lakini inaonekana alitokea Mashariki.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Agosti[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.