Eufrasia wa Thebe
Kutoka kitabu cha mwaka 1878, Little Pictorial Lives of the Saints
Eufrasia wa Thebe (380 - 13 Machi 410) alikuwa bikira Mkristo aliyeishi peke yake jangwani baada ya kuacha maisha ya familia yake ya kisharifu huko Konstantinopoli.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki.
Sikukuu yake inaadhimishwa hasa tarehe 24 Julai[1] au 25 Julai.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- EWTN Library: St. Euphrasia, Virgin Archived 9 Novemba 2016 at the Wayback Machine.
- Catholic Encyclopedia: St. Euphrasia
- Lives of the Saints, March 13: Saint Euphrasia
- St. Euphrasia Hagiography
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |