Eroni, Atne, Isidori na Dioskoro
Mandhari
Eroni, Atne, Isidori na Dioskoro (walifia dini Aleksandria, 250) walikuwa Wakristo wa Misri ambao waliteswa vikali na hatimaye kuuawa kwa sababu ya imani yao katika dhuluma ya kaisari Decius.
Kwa amri ya hakimu, watu wazima walichomwa moto, kwa sababu walidumu katika imani wasishindwe na mateso mbalimbali waliyopatiwa, kumbe mtoto Dioskoro, baada ya kupigwa mijedeli mara kadhaa, alichanwachanwa mwili mzima [1].
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 14 Desemba[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Agostino Amore, Erone, Arsenio, Isidoro e Dioscoro, santi, martiri in Egitto, Bibliotheca Sanctorum, V, p. 75. (Kiitalia)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |