Watu wazima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kundi la watu wazima.

Watu wazima Kibiolojia linaweza kumaanisha watu wale walio hai, hasa wakiwa na afya njema, tofauti na wafu na wagonjwa. Lakini kwa kawaida linatumika kutofautisha wale waliofikisha umri au kuwa na uwezo wa kuzaa [1] na watoto.

Kwa kwenda mbali zaidi, maneno hayo yanatofautisha waliokomaa kiutu[2] na vijana pia ambao, ingawa wameshabalehe, hawana ukomavu ule unaohitajika kukabili majukumu yote katika jamii, hasa chini ya miaka 18[3].

Kwa msingi huo, sheria zinawapangia haki na wajibu kadiri ya nchi.

Kwa nchi kama Tanzania pengine utu uzima unahesabika kuanza miaka 40(Habari hii inatakiwa kuthibitishwa kwa kuonyesha vyanzo), wakati utoto ni kuanzia miaka 0 hadi 17 na ujana ni kuanzia miaka 18 mpaka miaka 40.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://en.wikipedia.org/wiki/Sexual_maturity
  2. https://en.wikipedia.org/wiki/Adult
  3. Human adulthood encompasses psychological adult development. Definitions of adulthood are often inconsistent and contradictory; a person may be biologically an adult, and have adult behavior but still be treated as a child if they are under the legal age of majority. Conversely, one may legally be an adult but possess none of the maturity and responsibility that may define an adult character.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Watu wazima kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.