Emiliana wa Roma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Emiliana wa Roma (aliishi karne ya 6) alikuwa bikira Mkristo, shangazi wa Papa Gregori I, ambaye alisimulia maisha yake katika hotuba fulani[1], akisema alijitoa kwa Mungu pamoja na dada zake Tarsila na Gordiana katika maisha ya Kiroho.[2]

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Januari[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Da www.treccani.it
  2. Da www.santiebeati.it
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Giovanni Sicari, Reliquie Insigni e "Corpi Santi" a Roma, Monografie Romane a cura dell'Alma Roma, 1998
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.