Emidi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Emigdi)
Sanamu yake katika kanisa kuu la Foligno, kazi ya Cody Swanson.

Emidi (279 hivi - 309 hivi) anakumbukwa kama askofu wa Ascoli Piceno (Italia ya Kati) hadi kifodini chake chini ya kaisari Diokletian[1].

Inasemekana alitokea Trier, leo nchini Ujerumani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Agosti.[2]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Sant' Emidio Martire
  2. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.