Elizabeti wa Schonau

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Altare ya Mt. Elizabeti wa Schönau (linapotunzwa fuvu la kichwa chake) katika kanisa la monasteri ya Mt. Florin, Kloster Schönau im Taunus

Elizabeti wa Schönau (1129 hivi – 18 Juni 1164) alikuwa mwanamke mmonaki mwaminifu sana wa shirika la Wabenedikto nchini Ujerumani[1].

Alipata umaarufu kwa njozi zake.

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu kuanzia mwaka 1584.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe ya kifo chake, 18 Juni[2].

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

  • Critical Edition (Latin): Ferdinand Wilhelm Emil Roth, ed. (Brunn, 1884)
  • Modern English Translation: Elisabeth of Schönau: the complete works, Anne L. Clark, trans. and intro., Barbara J. Newman, preface (New York: Paulist Press, 2000)
  • Modern German translation: Die Werke der Heiligen Elisabeth von Schönau, Peter Dinzelbacher, trans. (Verlag Ferdinand Schöningh, 2006) ISBN 3-506-72937-3
  • Translations have been published in modern Italian (Venice, 1859) and French (Tournai, 1864), as well as medieval Icelandic (ca. 1226–1254)

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Butler, Lives of the Saints
  • Streber in Kirchenlex., s.v.
  • Hauck, Kirchengesch. Deutsche., IV, 244 sqq.
  • Wilhelm Preger, Geschichte der deutschen Mystik im Mittelalter (1874–93), 1, 37
  • Acta Sanctorum, June, IV, 499
  • Roth, Das Gebetbuch der Elisabeth von Schönau (1886)
  • Franz Xaver Kraus: Elisabeth, die Heilige, von Schönau. In: Allgemeine Deutsche Biographie (ADB). Volume 6, Duncker & Humblot, Leipzig 1877, S. 46 f.
  • Kurt Köster: Elisabeth von Schönau. In: Neue Deutsche Biographie (NDB). Volume 4, Duncker & Humblot, Berlin 1959, S. 452 f.
  • Peter Dinzelbacher: Mittelalterliche Frauenmystik. (Schöningh: Paderborn, 1993)
  • Joachim Kemper: Das benediktinische Doppelkloster Schönau und die Visionen der hl. Elisabeth von Schönau, in: Archiv für mittelrheinische Kirchengeschichte 54/2002 S. 55-102
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.