Editha
Mandhari

Editha wa Wilton (jina asili Eadgyth limerahisishwa pia kama Edith au Ediva; Kemsing, Kent, Uingereza, 961 hivi[1] – Wilton Abbey, 15 Septemba 984) alikuwa binti wa mfalme Edgar wa Waangli ambaye tangu utotoni aliishi kama mmonaki katika abasia ya Wilton, hivi kwamba alionekana si kuacha malimwengu, bali kutoyafahamu kabisa [2].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu bikira.
Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki na Waanglikana tarehe 16 Septemba[3][4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Yorke, Barbara (2008). "The Women in Edgar's Life". Katika Scragg, Donald (mhr.). Edgar, King of the English 959–975. Woodbridge, UK: The Boydell Press. uk. 145. ISBN 978-1-84383-928-6.
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/70390
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Francis Goldie, Saints of Wessex and Wiltshire (1885) p. 28
- ↑ St Editha of Wilton at books.google.com
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- St Edith of Wilton at catholic.org
- St Edith of Wilton Ilihifadhiwa 11 Oktoba 2011 kwenye Wayback Machine. at Britannia.com
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
