Edilburga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Edilburga.

Edilburga (jina asili: Æthelburg; alifariki Faremoutiers-en-Brie, karibu na Meaux, Ufaransa, 7 Julai 664) alikuwa binti mfalme Anna wa Anglia Mashariki, katika Uingereza wa leo, halafu mmonaki na hatimaye abesi baada ya dada yake Seathrid[1].

Alimtukuza Mungu kwa ubikira wake na kwa kujinyima sana[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.