Eata

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Eata katikati ya watakatifu maaskofu Wasaksoni wengine.

Eata (620 hivi - Hexham, Northumbria, leo nchini Uingereza, 26 Oktoba 686) alikuwa abati, halafu pia askofu wa mji huo miaka mitatu, baada ya kuongoza monasteri na makanisa mbalimbali, hasa jimbo la Lindisfarne[1], kwa upole na unyofu mkubwa[2], kama alivyosimulia mwanahistoria Beda Mheshimiwa[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake, 26 Oktoba.[4]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Fryde, et al. Handbook of British Chronology p. 217
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/75370
  3. "St. Eata's, Atcham, Shrewsbury". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-11-04. Iliwekwa mnamo 2020-10-25. 
  4. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Colgrave, Bertram (1956). Battiscombe, C. F., mhariri. The Relics of Saint Cuthbert. Oxford. 
  • Fryde, E. B.; Greenway, D. E.; Porter, S.; Roy, I. (1996). Handbook of British Chronology (toleo la Third revised). Cambridge, UK: Cambridge University Press. ISBN 0-521-56350-X. 
  • Walsh, Michael J. (2007). A New Dictionary of Saints: East and West. London: Burns & Oats. ISBN 0-8601-2438-X. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.