Dubu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kuhusu makundinyota tazama Dubu Mkubwa na Dubu Mdogo

Dubu
Dubu Kahawia Ursus arctos
Dubu Kahawia Ursus arctos
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Nusungeli: Eutheria
Oda: Carnivora, (Wanyama mbua)
Nusuoda: Caniformia (Wanyama kama mbwa)
Familia: Ursidae
Fisher de Waldheim, 1817
Ngazi za chini

Nusufamilia 3, jenasi 5:

Dubu (kutoka Kiarabu الدب al-dubb , jina la kisayansi ni Ursidae, ing. bears) ni wanyama wakubwa wenye manyoya mengi.

Dubu wengi hupenda uoto wa asili kama makazi yao makuu kuwapa chakula chao kama asali na matunda.

Mwainisho[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dubu kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.