Asali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Asali ya kiowevu
Mizinga ya nyuki nchini Burkina Faso.
Vyumba vya asali kwenye sega
Aina kadhaa za asali huganda
Asali ikichujwa kwa ajili ya kutenga asali halisi na nyuki waliokuwamo.

Asali ni chakula kitamu katika hali kiowevu kinachotengenezwa na nyuki.

Nyuki hula mbelewele pamoja na maji matamu ndani ya maua na kuitoa tena katika mzinga wa nyuki kwa kuitunza kwenye sega. Ndani ya sega kiowevu huiva kuwa asali kamili.

Asali inavunwa na watu na kuwa chakula muhimu. Asali hujenga afya. Katika nchi za kaskazini ilikuwa njia ya pekee ya kutia utamu kwenye chakula kabla ya kupatikana kwa sukari kwa njia ya biashara ya kimataifa.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Asali kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.