Dalmasi wa Rodez
Mandhari
Dalmasi wa Rodez (pia: Dalmas, Dalmace, Dalmatius; karne ya 5 - 580 hivi) alikuwa askofu wa Rodez, Akwitania, leo nchini Ufaransa kwanzia mwaka 524 hadi kifo chake [1][2].
Gregori wa Tours alimsifu kwa ukarimu wake kwa maskini[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Novemba[4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Archived copy". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-06-25. Iliwekwa mnamo 2012-03-08.
{{cite web}}: CS1 maint: archived copy as title (link) - ↑ Patron Saints Index: Saint Dalmatius of Rodez Archived Novemba 2, 2007, at the Wayback Machine
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/90433
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Histoire du Rouergue, Privat, Toulouse, 1987.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |