Mlenda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Corchorus)
Mlenda
(Corchorus sp.)
Mlenda (Corchorus olitorius)
Mlenda (Corchorus olitorius)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Malvales (Mimea kama mpamba)
Familia: Malvaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mpamba)
Jenasi: Corchorus
L.
Ngazi za chini

Spishi >40, katika Afrika ya Mashariki:

Milenda ni mimea ya jenasi Corchorus katika familia Malvaceae. Majani yao huliwa kama mboga yenye kuleta afya na hupikwa kwa mchanganyiko wa mimea mbalimbali kama bamia, mboga za majani na karanga; pia huliwa kwa ugali.

Spishi za Afrika ya Mashariki[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mlenda kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.