Brisi wa Tours

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Brisi na Mt. Martino.

Brisi wa Tours (Turenne, 370 hivi- Tours, leo nchini Ufaransa, 444 BK) alikuwa askofu wa mji huo kwa miaka 47 baada ya mwalimu wake Martino wa Tours (397) [1] .

Gregori wa Tours aliandika maisha yake[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Novemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. [1]
  2. Gregory, History of the Franks, 2.1.
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.