Boniphace Mwita Getere

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Boniphace Mwita Getere (amezaliwa 25 Disemba 1963) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Mapinduzi (CCM).Alipata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Iramba kuanzia mwaka 1974 hadi 1981 na elimu ya sekondari kuanzia mwaka 1982 hadi mwaka 1985 katika shule ya sekondari ya Arusha Meru. Alisomea diploma yake mnamo (2006-2008) na Shahada mnamo (2008-2011) katika Taasisi ya maendeleo na mipango vijijini. [1] Amechaguliwa kuwa mbunge wa Bunda kwa miaka 20152020. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.parliament.go.tz/index.php/administrations/229
  2. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017