Belino wa Padova

Mt. Belino akikabidhi Padova kwa Bikira Maria.
Belino wa Padova (990 hivi - 1145) anakumbukwa kama askofu wa Padova (Italia Kaskazini) wakati mgumu kuanzia mwaka 1128 hivi hadi kifodini chake[1][2][3].
Alitangazwa na Papa Eujeni IV kuwa mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Novemba.[4]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Saint Bellinus of Padua. Saints SQPN (14 August 2017). Iliwekwa mnamo 9 October 2017.
- ↑ Saint Bellino of Padua. Santi e Beati. Iliwekwa mnamo 9 October 2017.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/79350
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |