Nenda kwa yaliyomo

Autonomo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Autonomo.

Autonomo (Italia, karne ya 3 - Bitinia, leo nchini Uturuki, 313) alikuwa Mkristo mmisionari aliyefanya utume mkubwa katika Asia Ndogo kama askofu wa kwanza wa Claudiopolis akauawa kwa sababu ya imani yake katika dhuluma ya Dola la Roma[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Septemba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • Clive Foss, "St. Autonomus and His Church in Bithynia," Dumbarton Oaks Papers, Vol. 41, Studies on Art and Archeology in Honor of Ernst Kitzinger on His Seventy-Fifth Birthday (1987), pp. 187–198.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.