Asia ya Kusini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Asia ya Kusini

Asia ya Kusini ni sehemu ya Asia yenye nchi zifuatazo:

halafu nchi za visiwani

Umoja wa Mataifa umehesabu pia Afghanistan na Uajemi katika kanda hili.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Asia ya Kusini jinsi ilivyoelezwa hapo juu (bila Uajemi na Afghanistan) ni karibu sawa na Bara Hindi. Tofauti ni ya kwamba Asia ya Kusini hujumuisha nchi zinazotajwa ilhali Bara Hindi ni eneo linalokaa ju ya bamba la Uhindi. Kuna sehemu hasa za Pakistan yasiyo juu ya bambala Uhindi bali kwenye mitelemko ya nyanda za juu za Uajemi.

Asia ya Kusini imetengwa na maeneo mengine ya Asia kwa safu za milima mikubwa.

Eneo lake ni takriban kilomita za mraba milioni 4,5 au 10 % za bara lote la Asia. Takriban 20 % za wakazi wa dunia huishi hapo.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]