Antioko wa Sulcis

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Antioko.

Antioko wa Sulcis (alifariki Sulcis, Sardinia, leo nchini Italia) alikuwa Mkristo aliyepelekwa uhamishoni kwenye migodi ya kisiwa cha Sardinia na hatimaye kuuawa kutokana na imani yake[1].

Aliweza kutokea Mauretania au Kapadokia.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yao ni tarehe 13 Desemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.