Ante Ćorić

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ante Ćorić
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaKroatia Hariri
Jina halisiAnte Hariri
Jina la familiaĆorić Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa14 Aprili 1997 Hariri
Mahali alipozaliwaZagreb Hariri
NduguJosip Čorić Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKikroatia Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timuKiungo Hariri
Muda wa kazi2014 Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
AmeshirikiUEFA Euro 2016 Hariri
Ante Coric.

Ante Ćorić (alizaliwa 14 Aprili 1997) ni mchezaji wa soka wa Kroatia ambaye anacheza katika klabu ya Italia A.S. Roma kama kiungo mshambuliaji.

Mnamo tarehe 28 Mei, Ćorić alijiunga na klabu AS Roma kwa ada ya milioni 8; alisaini mkataba wa miaka 5 mpaka 2020.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ante Ćorić kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.