Zagreb

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uwanja wa soko kuu mjini Zagreb

Zagreb ni mji mkuu wa Kroatia. Ina wakazi 973,667 2005. Iko katika kaskazini ya nchi kando la mto Sava kwenye kimo cha 120 m juu ya UB na anwani ya kijiografia ni 45°48′N 15°58′E.

Utamaduni[hariri | hariri chanzo]

Jumba la maagizo ya tamthiliya la kitaifa

Zagreb ni kitovu cha taasisi za utamaduni wa Kroatia. Chuo kikuu kiliundwa tar. 23 Septemba 1669 ni kati ya vyuo vikuu vya kale katika Ulaya ya mashariki. Kuna pia Chuo cha Sanaa na Chuo cha Muziki. Zagreb

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Zagreb kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.