Anna Line

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Anna Line.

Anna Line (1563 hivi – 27 Februari 1601) alikuwa mwanamke Mwingereza aliyebadilisha imani yake ya dini kutoka Ushirika wa Anglikana kuingia Kanisa Katoliki.

Kwa vile aliwaficha mapadri nyumbani mwake na kuhudhuria Misa zao, alipelekwa mahakamani na kuuawa kwa kunyongwa[1].

Mwaka 1929 alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenyeheri na mwaka 1970 alitangazwa na Papa Paulo VI kuwa mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 27 Februari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.