Anania wa Arbela

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Anania wa Arbela (alifariki Arbela, leo Erbil, Iraki, 345) alikuwa Mkristo wa mji huo aliyeuawa katika dhuluma ya mfalme wa Persia Shapur II[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Novemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/78760
  2. Martyrologium Romanum, 2004
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.