Alipi wa mnarani
Mandhari

Alipi wa mnarani (kwa Kigiriki: Ἀλύπιος ὁ Στυλίτης, Alyupios o Stylítis; Adrianopoli, Paflagonia, leo nchini Uturuki, 515 hivi - Adrianopoli, 614) alikuwa shemasi ambaye aliishi kama mkaapweke na kupata umaarufu kwa kuishi miaka 40 juu ya mnara[1].
Kutokana na sifa hiyo iliyomvutia wanafunzi wengi, aliweza kuanzisha monasteri mbili, kwa wanaume na kwa wanawake.
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Novemba[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- The Venerable Alypius the Stylite Prologue from Ochrid by St. Nikolaj Velimirović, Serbian Orthodox Church
- Venerable Alypius the Stylite of Adrianopolis Orthodox icon and synaxarion
- Translation of The Life of Alypius the Stylite (BHG 65)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |