Alberiko
Jump to navigation
Jump to search
Alberiko wa Cîteaux, O.Cist. (pia Aubrey; alifariki Citeaux, 26 Januari 1109) alikuwa mkaapweke, mmonaki, halafu (1100) abati nchini Ufaransa.
Ni kati ya waanzilishi wa urekebisho wa Citeaux wa shirika la Benedikto wa Nursia. Ndiye aliyepata kutoka kwa Papa Paskali II hati Desiderium quod iliyoupatia urekebisho huo uhalali wake.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Januari pamoja na wenzake Roberto wa Molesme na Stefano Harding.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Attwater, Donald and John, Catherine Rachel John, 1993:The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books. ISBN|0-14-051312-4
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Saint of the Day, January 26: Alberic of Cîteaux Archived Januari 23, 2011 at the Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
- History of the Cistercians in the Catholic Encyclopedia
- Shughuli au kuhusu Alberiko katika maktaba ya WorldCat catalog
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |