Absadi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Abba Absadi (alifariki 1381) alikuwa mmonaki, mfuasi wa Ewostatewos na mwalimu wa Abba Filipos.

Alianzisha monasteri ya Debre Mariam mwaka 1374 katika Eritrea ya leo.

Hatimaye, askari walimkamata, wakamtesa na hatimaye wakamuua na kumkata kichwa.[1]

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia na Kanisa la Kiorthodoksi la Eritrea kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Septemba.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. the book of the saints of the Ethiopian church, Vol 3. CUP Archive. 1976. p. 418. 

Chanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Holweck, F. G. A Biographical Dictionary of the Saints. St. Louis, MO: B. Herder Book Co. 1924.

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • G. Lusini, Gadla Absadi, text and translation. (Peeters, 1996)
  • The Ethiopian Synaxarion, Meskerem 18
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.