Ziwa Assal
| Ziwa Assal | |
|---|---|
| Mahali | Bonde la Afra |
| Aina ya ziwa | Ziwa la Crater |
| Mito ya kuingia | chini ya ardhi kutoka bahari |
| Mito ya kutoka | hakuna |
| beseni | 900 km2 |
| Nchi za beseni | Jibuti |
| Urefu | 10 km |
| Upana | 7 km |
| Eneo la maji | 54 km2 |
| Kina cha wastani | 7.4 m |
| Kina kikubwa | > 20 m |
| Mjao | 400 million m3 |
| Kimo cha uwiano wa maji uso juu ya UB | -155 m |
| Miji mikubwa ufukoni | Randa 25 km Kaskazini-Mashariki) |
‘’’Ziwa Assal’’’ (kwa kifaransa, Lac Assa) ni ziwa lililo kati ya Jibuti ambalo liko katika mpaka wa Kusini wa Tadjoura Region, ikiguza eneo la Dikhil Region, takribani 120 km magharibi mwa Mji wa Jibuti. Iko 155 m chini ya kiwango cha Bahari katika Bonde la Afar. Fuo zake zinashirikisha eneo la chini zaidi barani Afrika na ni ya pili ya Chini zaidi duniani baada ya Dead Sea. Ina kipimo cha kilomita 19 kwa 7 na ina kimo cha 54 km2. Umbali wa chini zaidi ni 40 m, huku umbali wa wa wastani kwenda chini ukiwa 7.4 m, ambao unabeba maji kipimo cha milioni 400m3. Maeneo ya kuingilia yanapima 900 km2, na kuna kiingilio tu cha mataro wa maji yaliyotibiwa kwa ziwa hilo.
Ziwa hili linachukuliwa kuwa hifadhi ya maji yaliyo na Chumvi nyingi zaidi nje ya Antactica, ikiwa na ukoleaji wa asilimia 34 wa chumvi (hadi asilimia 40 katika umbali wa 20 m ikilinganishwa na Garabogazköl au asilimia 33.7 katika ziw la Dead Sea (Sana sana huchukuliwa kimakosa kuwa eneo la chumvi nyingi zaidi duniani) na wastani ya asilimia 3.5 katika mabahari ya dunia.
Eneo la ziwa hili ni kama jangwa na hakuna fauna au flora ionekanayo katika mimea midogo katikati ya Ziwa hilo. Kipimo cha juu cha joto katika eneo hilo hufanya maji kugeuka ukungu kwa urahisi, kwa hivyo eneo hilo limezungukwa na mwamba wa chumvi iliyoshikamana. Uchimbaji wa chumvi katika eneo hilo hufanya na chumvi husafirishwa na Wasafiri (Caravan) wa Ethiopia
Tazama Pia [hariri]
Kiini [hariri]
|
|
Makala hii, au sehemu za makala hii, inahitaji vyanzo au au marejeo yoyote. Tafadhali saidia kuboresha makala hii kwa kuweka vyanzo vya kuaminika. Habari zizizowekewa vyanzo kuna uwezekano wa kuwekewa vikwazo na kuondolewa. (Juni 2007) |