Giriama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wagiryama)
Picha ya kibanda cha Kigiriama katika mkahawa wa Sarova White Sands, Mombasa, Kenya.

Wagiriama (pia huitwa Wagiryama, Kigiriama, au Kigiryama) ni mojawapo ya makabila tisa ya Wamijikenda (iliyo na tafsiri ya "miji tisa").

Wamijikenda ni wakazi wa ukanda wa pwani ya Kenya kutoka Lamu, mji ulio kaskazini mwa Kenya, hadi kusini (mpaka wa Kenya na Tanzania), na wastani wa kilomita 30 ufuoni.

Wamijikenda huzungumza lugha zenye uhusiano wa karibu, aina zote za lugha za Kibantu ambayo ni sawa na kundi ambalo kwa upana zaidi lugha maarufu ya Kiswahili ilikopolewa.

Wagiriama ni kati ya mabingwa wa makabila haya. Wao hukaa eneo lililopakana na miji ya pwani ikiwemo Mombasa, Malindi au Mariakani na Kaloleni.

Wagiriama hujihusisha sana na kilimo kwa kupanda mazao ya kuuza na kujikimu.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu utamaduni wa Kenya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Giriama kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.