Victoria (ziwa)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ziwa la Viktoria Nyanza
Ziwa Viktoria Nyanza jinsi inavyoonekana kutoka angani
Ziwa Viktoria Nyanza jinsi inavyoonekana kutoka angani
Mahali Afrika ya Mashariki
Nchi zinazopakana Tanzania, Kenya na Uganda
Eneo la maji 68,100 km²
Kina ya chini 81 m
Mito inayoingia Kagera, Katonga, Nzoia
Mito inayotoka Nile
Kimo cha uwiano wa maji juu ya UB 1,134 m
Miji mikubwa ufukoni Kampala, Kisumu, Mwanza
Victoria lake and the Rift
Density growth around Lake Victoria
Lacal languages around lake Victoria
Lake Victoria height variation
Human density Lake Victoria.png

Ziwa Victoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa Afrika, pia ni chanzo cha mto Nile, hili ni ziwa la pili kwa ukubwa Duniani. Ziwa la kwanza ni Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini. Ziwa Victoria lipo futi 3,726 kutoka usawa wa bahari na lina eneo la maili za mraba zaidi ya 26,000. Maji ya ziwa Victoria yanamiminika kwenye mto Nile na kuelekea bahari ya Mediterenia kwa umbali wa maili 4,000. Ziwa Victoria limekuwa ni kiunganisho na mpaka kwa nchi tatu za Afrika ya mashariki ambazo ni Tanzania, Kenya na Uganda.

[hariri] Viungo vya Nje

Watersheds of Africa: A10 Nile | Lake Victoria


Africa satellite plane.jpg Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Victoria (ziwa) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.