Ziwa Chala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ziwa Chala mpakani mwa Kenya na Tanzania.
Picha kutoka juu.

Ziwa Chala (pia: Dschalla,[1]) ni moja kati ya maziwa ya Tanzania na ya Kenya.

Limepatikana katika kaldera ya volkeno[2].

3°19′S 37°41′E / 3.317°S 37.683°E / -3.317; 37.683

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Susan Carter; A. R. Smith (1 June 1988). Flora of Tropical East Africa - Euphorbiac v2 (1988). CRC Press. uk. 425. ISBN 978-90-6191-338-2.  Check date values in: |date= (help)
  2. "Tanzania » Places Of Interest » Lake Chala". go2africa.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-04-22. Iliwekwa mnamo 12 June 2010.  Check date values in: |accessdate= (help)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: